logo

NOW ON AIR

Listen in Live

PSG yatuma ombi rasmi la kumsajili mshambulizi Mauro Icardi

PSG yatuma ombi rasmi la kumsajili mshambulizi Mauro Icardi

image
na

Habari02 October 2020 - 09:09
Mabingwa wa Ufaransa PSG wamewasilisha dau la milioni 44.5 ili kupata huduma za mshambulizi wa Argentina Mauro Icardi.

PSG imewasilishs dau hilo huku kukiwa na nyongeza ya milioni 8.9 katika klabu yake yae Intermilan.

Icardi amekuwa kwa mkopo katika mabingwa hao wa Ufaransa tangu msimu jana na palikuwepo na makubaliano pande zote mbili ya uwezekano wa kumnunua mshambulizi huyo.

Taarifa hizi zinajiri huku maisha ya Edinson Cavanni katika klabu hiyo ya PSG yakiwa haiyajabainika baada ya mkataba wake kukamilika.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved