logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Napenda Nabayet jinsi anavyonipa hiyo 'kitu'- Otile Brown

Napenda Nabayet jinsi anavyonipa hiyo 'kitu'- Otile Brown

image
na

Habari02 October 2020 - 07:44
Nabayet-and-Otile
Msanii wa nyimbo za kizazi kipya Otile Brown sasa anasema kuwa mpenziwe Nabayet raia wa Ethiopia ama Uhabeshi ni tuzo kutoka kwa Mola.

Amesema kichuna huyo alirithi nafsi ya mapenzi ndani ya roho yake baada ya kuachana na Vera Sidika.

Akiwa kwa mazungumzo na mcheshi Jalango kupitia Youtube, Otile alisema kuwa kati ya wanawake ambao amechumbiana nao, Nabayet ni mtu tofauti.

“A LOT OF PEOPLE REALLY DO NOT UNDERSTAND ME AND THEY JUDGE ME BASED ON MY PREVIOUS RELATIONSHIPS. I AM A GUY WHO WILL DO CRAZY THINGS FOR THE PERSON THAT I LOVE,”  alisema Otile

Otile alisema kuwa japo wamekuwa na mgogoro wa kila mara katika uhusiano wao, atasalia kuwa mwanamke ambaye alimpenda zaidi.

 “THE ONLY WOMAN I EVER LOVED WAS NABAYET, NOBODY ELSE. SHE WAS JUST AN AMAZING LADY WHOM I VALUED SO MUCH AND LOVED DEARLY.”

Otile aliongezea kuwa kwa muda huo wote, Nabayet hajawahi kumuandalia mankuli yoyote.

 “SHE UNDERSTOOD ME VERY WELL AND WAS VERY SUPPORTIVE. SHE WAS A LADY WHO WOULD CRY WHEN SHE WAS INSECURE OR ANGRY. SHE WAS NOT A DRAMA QUEEN.”


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved