logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Tunanyonga tu,' Otile Brown akiri vile huwa mwaminifu kwa Nabayet na kushangaza wengi

'Tunanyonga tu,' Otile Brown akiri vile huwa mwaminifu kwa Nabayet na kushangaza wengi

image
na

Habari02 October 2020 - 07:44
Msanii wa nyimbo za bongo Otile Brown aliwaacha wengi wakiwa wamepigwa na butwaa baada ya kusema kuwa huwa 'ananyonga' au anapiga punyeto kwa maana mpenzi wake yuko mbali. Si hayo tu pia mpenzi wake anaugna mkono kitendo hicho.

Akiwa kwenye mahojiano, Otile alisema kuwa huwa anafanya hivyo ili kuwa mwaminifu katika uhusiano wake na mpenzi wake Nabayet almaarufu Nabbi.

“Tunanyonga tu! Utafanya nini sasa! Nikimsubiri na anasupport mnyongo huo, anasema keep doing what you are doing. Anajua with that now, at least boy wake nimetulia." Otile Alisema.

Hivi maajuzi, Otile alitoa albamu mpaya ya 'just in love' akiwa kwenye mahojiano alisema kuwa mpenzi wake huwa hapiki endapo atamtembelea, bali huwa anapika na hata kumlisha Nabayet.

"Mpenzi wangu hajawahi pika akija kunitembelea unajua watu wengi hawanijui vyema katika maisha yangu ya maabara ya mapenzi

Mimi ndo napika na amekaa tu hapo kwa sababu ni mimi nimechagua kufanya hivyo, unajua hajawahi shika chakula na mkono huwa namlisha

Na si wala nimekaliwa chapati, nimechagua kufanya hivyo kwa maana nampenda sana mwanamke huyo. Naona kuna mafisi wengine huku nyuma wanatoa tu gangster points." Alizungumza Otile.

Akizungumzia uhusiano wake na Nabayet, alisema kuwa ni wapenzi na uvumi ambao ulitokea kuwa wameachana walisuluhisha makosa yao.

“My last relationship, vitu vilitokea na wanawake wakanielewa kwamba, I’m ruthless, mimi ni mtu ambaye ikifika kwa mademu sijatulia. So when we first got into the relationship, she wasn’t sure about, like it did not matter how much I tell her nakupenda, and thats why I went and sang Nabayet, whatever I sang on Nabayet is all true. Because I don’t think I have ever loved a woman, the way I love that chick, coz ni mwanamke ambaye hana story mingi. She will never bother you. She that type of a woman ukimkosea atalia, she will just cry. So it was always a struggle, like so many times we are having the same discussion. Any time I tell her I really care about you , I love you anasema No you are just playing with me." Alieleza.

Nabayet kwa sasa anaishi mjini Australia, lakini humtembelea Otile mara kwa mara mjini Nairobi.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved