Betty amekuwa akifunguka kila mara kuhusu makosa aliofanya kujiingiza katika uhusiano na Kanyari.Amekuwa akikumbuka mateso aliyopitia na unafiki wa mhubiri huyo lakini Kanyari sasa amesema amechoshwa na tabia hiyo na Betty anafaa kuwa na ujasiri wa kuachana naye na kuendelea na maisha yake.
Kanyari ameshangaa ambona Betty humtaja yeye tu ilhali aliwahi kuwa na wapenzi wengine kabla hajakutana naye anaofaa pia kuwataja katika sarakasi zake za mitandaoni. Wengi wameonekana kumshauri Kanyari kwamba Betty yungali anampenda ndio maana anada inakuwa vigumu kuacha kuzungumza kumhusu lakini Kanyari amesema katu hawezi kurudiana na mama ya watoto wake wawili .
“She should not be worried that I may appear and fight for love. I am a good man and I don’t fight for love. I have never been with a person I loved that much to make me fight for her to love me. When we separated, it’s a decision we made so I cannot go back to her,” alisema
Kanyari pia alipinga madai kwamba alikuwa na mazoea ya kumpiga Betty walipokuwa katika ndoa yao
“I never hit her when we were together. The fact remains we separated. I never touched her. One day I came home angry and hit a picture on the wall but I never fought her. She can even testify to that.”
Ushauri wake kuhusu mapenzi ukatamatishwa kwa sentensi hii
“Ukiachwa achika. Otherwise, depression is there. If she was not your destiny, then let her go and stop begging for their love. If she stays, it’s okay,”