logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ukiachwa Achika! Magix Enga amlaumu msanii wa Tanzania kwa kumwibia mpenzi

Ukiachwa Achika! Magix Enga amlaumu msanii wa Tanzania kwa kumwibia mpenzi

image
na

Michezo01 October 2020 - 11:06
Producer wa humu nchini Magix Enga amemlaumu na kumfichua msanii wa Tanzania anaye fahamika kama Marioo kwa mwibia mpenzi wake.

Kulingana na mambo jinsi yanaenda Enga anaweza kuwa anataka tu awe kwenye vichwa vya habari yaani si mara ya kwanza Enga kuzua cheche za maneno kwenye mitandao ya kijamii.

"Pole kwa kusema kuwa tumeachana na mpenzi wangu kwa sababu ya huyu mwanamume anayefahamika kama Marioo kwa taarifa yako ni mimi nilikuwa najibu jumbe zako za mwisho

Akaunti ya mpenzi ilikuwa tu na wafuasi 1000 na jamaa anatuma jumbe akimdanganya mpenzi wangu, nitakata hiyo D yako dogo Bruh

Jichunge na ni bora uje hapa kabla sijaposti 'Screenshots' za jumbe zako." Enga Aliandika.

Ujumbe wake Magix haukuchukuliwa kwa makini bali baadi ya wasanii wenzake walianza kumcheka kwa ujumbe huo;

Hizi hapa baadhi za jumbe za mashabiki na marafiki wenzake.

DJ Shiti:sasa kama umebadilika unamwimbia Gengetone ati kimbichwa, goshodo na kindukulu Nahuyu anambembeleza na Nyimbo kama AYA una expect nini bro…😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃

Savara:🤣🤣🤣🤣 wewe wacha kutupima beat king

King kaka:@magix_enga Mpatie beat noma atulie , hawezi sample Mresh wako . Kwa hiyo story aulize @6ix9ine kitu ulimfanyia 😎

krgthedon:🤣🤣🤣🤣 Enga Utakuja niua bro
 highvo_mk:Anadai ku sample dem wa magix enga 😂😂


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved