logo

NOW ON AIR

Listen in Live

‘Alikasirika’ Esma Platnumz afichua mbona babake Diamond hakuhudhuria harusi yake

‘Alikasirika’ Esma Platnumz afichua mbona babake Diamond hakuhudhuria harusi yake

image
na

Makala01 October 2020 - 10:22
mzee
Wiki chache tu  baada ya harusi yake Esma Platnumz  sasa amejitokeza kueleza mbona babake Diamond  Mzee Adbul Juma hakuhudhuri harusi yake.

Abdul hakuwa miongoni mwa wageni walikwa  ,jambo ambalo watu wengi katika harsi hiy waligundua  .ingawaje  babake na Diamon na Esma ni watu tofauti kila mtu alimtaraji Mzee Abdul kuja katika harusi ya  Esma

Amesema ameiambia Wasafi TV, kwamba Esma said

‘ kabla sijaolewa nilimfahamisha na hata nikampa kadi ya mwaliko . labda alikasirika kwa sababu nilimtuma mtu kumpa kadi badala ya kumkabidhi mimi mwenyewe . nilimpigia simu nikimueleza kwamba nitatuma  ampelekee kadi kwa sababu nilikuwa nimebanaw ana shughuli  nyingi

 Esma  aliongeza kwamba sababu ya familia yake kutoka upande wa babake haikuwepo ni kwa ajili amekuuzwa na mamake  na ndiy aliyeshughulikia kila jambo la harusi ikiweo wageni wanaoalikwa

Esma ameolewa kama mke wa tatu wa Bwana   Msizwa  na ana watoto wawili kutoka ndoa yake ya hapo awali


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved