Iliwachukua muda kukubali kilichofanyika .Akizungumza na Jalang’o kuhusu ndoa yake Raburu amesema atafunguka kuhusu suala hilo atakapokuwa tayari . Alipoulizwa kuhusu kujitosa tena sokoni kumtafuta mpenzi mwingine Raburu alisema ;
sijaanza kudate (Akicheka) kila mtu anajua hali yangu ‘
Mtangazaji huyo wa 10 over 10 mesema atazungumzia tu ndoa yake atakapokuwa tayari kufanya hivyo na wakati yeye na Marya watakuwepo kujibu maswali
‘ ni sawa tu kuzungumzia suala hili wakati pande zote ziko hapa fursa ikitokea tutazungumzia hilo kwa sababu nafikiri kuna changamto katika kila jambo ..hakuna kilicho rahisi
Raburu alikana kuwahi kuwa na mpenzi kutoka Rwanda baada ya ‘kutenga’ na mkewe
