logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Msimcheke mumbeeni nduo uungwana,' Diamond awaomba mashabiki kumuombea Harmonize baada ya kuanguka akiingia jukwaani

'Msimcheke mumbeeni nduo uungwana,' Diamond awaomba mashabiki kumuombea Harmonize baada ya kuanguka akiingia jukwaani

image
na

Habari01 October 2020 - 09:46
Bosi wa lebo ya WCB staa wa bongo Diamond Platnumz ametoa hisia zake huku akiwaomba mashabiki wamuombee msanii Harmonize baada ya kuanguka akiingia jukwaani ili kuwatumbuiza mashabiki katika uwanja wa Benjamin Mkapa Dar Es Salaam.

Mmoja wa mashabiki wake alimuarfu Diamond kilicho tokea huku akidai kuwa msanii Harmonize amesahau mazoezi ya WCB.

Msanii wa bnngo Diamond hakusita alimjibu huku akimshauri anapaswa kumuombea na wala si kumcheka.

“Kuna kijamna wako kaanguka huku, nafikiri amesahau mazoezi ya WCB….!” Alisema shabiki huyo.

Kwa haraka Diamond alimjibu na kumwambia kuwa ajali utokea watu wakiwa kazini na jambo la busara ni kumuombea.

“@archbody Ajali kazini, inatokea wakati mwingine…. Msimcheke, Muombeeni ndio Uungwana." Alijibu Diamond.

Hizi hapa baadhi za hisia za mashabiki;

: Huyo aliyemshushaa harmonize alikuwa simbaa🔥🔥🔥🔥 kama una hamini weka like zote
 :Mwana kulifind mwana kuliget😂😂😂
:Huyo ndo mwanajeshi sasa na sababu ya kuvaa begi ndo iyo... mlitaka aje kizembe zembe wakati yupo vitani ?
KAWAIDA TU AJALI KAZINI SEMA UBUNIFU MZURI


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved