logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Majuto ! Jamaa alivyotumia dawa ya kuongeza ‘uume’ wake alivyopunguza urefu wa ‘kiumbe chake’ bila kujua

Majuto ! Jamaa alivyotumia dawa ya kuongeza ‘uume’ wake alivyopunguza urefu wa ‘kiumbe chake’ bila kujua

image
na

Habari01 October 2020 - 09:40
Jeff amejipata katika hali ya   kuhuzunisha na ni wachache wanaomhurumia kwa sababu alijidunga mwiba mwenyewe ila hakujua matokeo yake yatakuwa na athari kubw akatika maisha yake .akichakura Instagram siku moja ,alikutana na tangazo kwenye  insta lililoeleza kuwepo dawa za tembe ambazo mwanamme akimeza zingemsaidia kwa kuongeza ukubwa wa ‘kifaa’ chake .

Kwa sababu alikuwa na uchu wa kujua iwapo kweli dawa hizo zilikuwa zikifanya kazi ,Jeff alianza mawasiliano na mtu aliyekuwa akiziuza n ahata akazininunua huku akipewa maelekezo ya jinsi ya kuzitumia n ahata muda ambao anafaa kuzitumia ili kuanza kuona matokeo . Bila kusita Jeff alilipia dawa hizo kupitia simu kisha akangoja kifurushi chake  na kilipowasili alianza kuzitumia dawa hizo . Baada ya wiki moja hata hivyo aligundua kwamba matokeo aliokuwa akiyapata yalikuwa na kinyume na alichoahidiwa . sehemu yake ya uume badala ya kurefuka ilikuwa ikiwa fupi na hapo ndipo safari yake ya kupata majibu ilipoanza .

Jeff akiwa na hofu aliwasiliana na yule jamaa wa Instagram ambaye alikuwa ametangaza tembe zile lakini maswali yake kuhusu kilichokuwa kikifanyika hayakupata jibu .Jamaa alisema dawa zile zikuwa zilikuwa zikifanya kazi kwa sababu ziliundwa na miti shamba kutoka Uchina na hakuelewa Mbona matokeo kwa Jeff  yalikuwa tofauti . Jeff alianza kupata hofu hata Zaidi wakati alipoanza kusikiza uchungu akienda haja ndogo na hapo ndipo alipojua angelazimika kwenda hospitalini .

Alimueleeza daktari wake kuhusu dawa alizotumia na  papo hapo aligundua kwamba alihadaiwa .Dawa alizopewa zilikuwa zimepakiwa upya kwa sababu dhamira halisi ya tembe hizo ilikuwa  amezinunua ni kwa wanawake waliokuwa wakitaka kizutumia ili kupungu ukubwa wa matoto yao! Jeff hakuamini kwamba pangeweza kutokea mkanganyiko kama huo mkubwa kwa kiasi cha kuweza kuvuruga maisha yake kwa njia ile na daktari wake alimshauri asizitumie ila sasa hapakuwa na suluhisho la moja kwa moja la kuweza kumrejeshea urefu wa uume wake jinsi ulivyokuwa kabla hajaanza kuzitumia dawa zile


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved