logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Orodha ya watoto wa wasanii ambao wana akaunti za instagram

Orodha ya watoto wa wasanii ambao wana akaunti za instagram

image
na

Michezo01 October 2020 - 09:37
Ni Azma ya kila mzazi hasa wasanii watoto wao kutambulika sana kwenye mitandao ya kijamii hsa kwenye mtandao wa kijamii wa instagram, si mmoja au wawili ambao wamewafungulia watoto wao akaunti hizo huku wengi wakipata kejeli na hata kukosolewa vikali.

Hii hapa orodha ya watoto wa wasanii ambao wana akaunti za mitandao ya kijamii;

1.Ladasha Wambo

Ni mwanawe msanii wa nyimbo za injili Size 8 na mcheza deki DJ Mo, Wambo amebarikiwa na urembo wa kupindukia, huku akiwa na wafuasi elfu 395.

2. Princess Tiffah

Ni wanawe msanii Diamond Platnumz na Zari Hassan ambaye pia ana urembo wa kupindukia, pia kwenye mitandao ya kijamii ya instagram ana wafuasi elfu 136.

Ni mwanawe msanii Bahati na Diana Marua.

4.Prince Nillan

Hakuachwa nyuma bali alifuta nyayo za dada yake ambaye katika akaunti yake ana wafuasi zaii ya millioni moja.

https://www.instagram.com/p/CD3WprSFJv0/

5.Majesty Bahati

Ana wafuasi elfu 176, miongoni mwa watoto wengine ni Dee Daylan mwanawe Hamisa Mobetto, Amiya Kiba mwanawe msanii wa bongo Alikiba miongi mwa wengine wengi.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved