logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mapenzi ya mbali:Mahusiano ya long distance yanafaulu vipi?+Podi ya Yusuf Juma

Mapenzi ya mbali:Mahusiano ya long distance yanafaulu vipi?+Podi ya Yusuf Juma

image
na

Habari01 October 2020 - 08:02
Kuna  watu ambao mapenzi yao yalikatika kwa sababu ya kuwa mbali na kila mmoja .kuna sababu nyingi za watu wanaopendana kujipata kuwa mbali na wapenzi wao ikiwemo kwa shughuli za kazi au masomo .

 Katika wasiojua jinsi ya kuendesha mahusiano au ndoa wakiwa mbali na wenzao kuna mengi ambaoyo huzuka na baadaye kuvuruga uhusiano wao .Katika Podi hii tunajadili jinsi mapenzi ya mbali yanavyofaa kuendeshwa


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved