logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Tabia za Wakenya ama Waafrika Utazijua tu kupitia mambo haya...#PodiyaYusufJuma

Zijue zote tabia ambazo wafafrika hawaziachi

image
na Radio Jambo

Habari04 December 2020 - 10:16

Muhtasari


 

  • Zijue zote tabia ambazo wafafrika hawaziachi
  • Kuanzia mazoea ya kufanya mambo kwa njia fulani hadi tabia za kuchekesha ,waafrika wana mengi ya vituko

 

Kuna mabo ambayo utayaona tu hapa nyumbani -Mengine hayaishi hata uishi wapi na urudi na ndio baadhi ya tabia ama mitindo inayotutambua kama waafrika .Katika podi hii leo tunapata kicheko tukikumbuka baadhi ya vitu hivi ambavyo havituachi ama tumekataa kuviacha .


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved