Bendi ya muziki ya Sailors wameoata pigo kubwa baada ya mmoja wao kutoka kwenye bendi hiyo na kujiungaa na tasnia ya muziki wa injili.
Lexxy YUng alisema kwamba ametoka katika bendi hiyo kupitia kwenye mitandao yake ya kijamii.
Huu hapa ujumbe wake alioaga bendi hiyo nao;
Poleni sana mabro kwwa haya..And it's with many tears Bana ..tumekuwa pamoja have done alot and achieve alot mih l wish you all best in your journey.Mih nmeamua to take on gospel industry promise sitawainamisha uko🙂And promise to always have your backs GOSPEL ARTISTS HERE I COME......" Aliandika Lexxy kwenye ukuras awake wa instagram.
Kupitia kwenye ukurasa huo alipakia picha nyingine na wasanii wenzake huku akisema ya kwamba anaona collabo katika nchi za nje.
Ni pigo kubwa kwa bendi hiyo kwa maana awali wamekuwa waking'ang'ana kwa ajili ya usanii wao baada ya mkataba wao na Mwalimu Rachel kutupiliwa mbali.
Je bendi hiyo itakuwa aje bila msanii Lexxy? toa maoni yako.
