logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+Video)Nililia mwaka wa 2007, baada ya baba yangu kushindwa katika uchaguzi mkuu-Winnie Odinga

"Mwaka wa 2007 wakati wa uchaguzi mkuu, wakati baba yangu alipotezza uchaguzi mkuu wa urasi, 2007 ni lilia

image
na Radio Jambo

Habari10 February 2021 - 13:24

Muhtasari


  • Winnie Odinga asema alilia mwaka wa 2007 baada ya baba yake kuoteza uchaguzi mkuu
  • Pia alisema miaka hiyo nyingine ambayo baba yake amekuwa akipoteza uchaguzi mkuu hajalia
  • Winnie alisema sisasa iko katika damu,na kuwa ni jambo la furaha sana kufanya kazi na baba yake

KInara wa chama cha ODM Raila Amollo Odinga amewania kiti cha urais mara nne bila ya kufaulu.

Mwanawe Winnie Odinga akiwa kwenye mahojiano na radiojambo aliweka wazi kwamba kuna wakati walilia kama familia baada ya baba yake kupoteza uchaguzi huo.

"Mwaka wa 2007 wakati wa uchaguzi mkuu, wakati baba yangu alipotezza uchaguzi mkuu wa urasi, 2007 ni lilia

 

Mwaka wa 2017, baada ya Raila kupoteza uchaguzi mkuu, aliapishwa katika bustani ya Uhuru wakati huo kila mtu mwenye alikuwa katika hafla hiyo alikuwa ameweka maisha yake hatarini

Nilimsaidia baba yangu kama vile huwa nasaidia familia yangu na wala si siasa, siasa iko kwa damu yangu," Alieleza Winnie.

Wakati wa hafla hiyo Winnie alifichua kwamba babayake, Raila hakutaka ahudhurie hafla hiyo bali alimwambia lazima awe naye.

"Baba yabgu hakutaka niende katika hafla hiyo, unakumbuka vile aliyekuwa rais wa marekani Kennedy vile alipigwa risasi na mke wake akamshika, niliambia baba yangu kuwa nitakuwa hapo kitendo hicho kikitokea,"

Winnie aliweka wazi kwamba ni jambo la kupendeza kufanya kazi na baba yake.

Hii hapa video ya mahojiano hayo;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved