logo

NOW ON AIR

Listen in Live

DJ Creme De La Creme hatimaye amvisha mpenzi wake pete ya uchumba

Wawili hao wamekuwa katika uhusiano wa kimapaenzi kwa zaidi ya miaka kumi, huku wakiwa wamebarikiwa na watoto wawili.

image
na Radio Jambo

Habari02 March 2021 - 15:13

Muhtasari


  • DJ Creme De La Creme amvisha mpenzi wake pete ya uchumba
  • Wawili hao wamekuwa katika uhusiano wa kimapaenzi kwa zaidi ya miaka kumi, huku wakiwa wamebarikiwa na watoto wawili

Mcheza santuri George Njuguna almaarufu DJ Creme De La Creme kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram ametangaza kwamba amemvisha mpenzi wake na mama wa watoto wake pete ya uchumba.

Wawili hao wamekuwa katika uhusiano wa kimapaenzi kwa zaidi ya miaka kumi, huku wakiwa wamebarikiwa na watoto wawili.

Kupitia kwenye ukurasa wake alipakia picha ya mpenzi wake akiwa amevalia pete hiyo na kuandiika ujumbe ufuatao,

 

"Ilinichukua miaka 14, kumuuliza rafiki yangu bora,msiri wangu,mama wa watoto wangu, mtu wangu wa milele aweze kunioa

Najua nilikupa mawazo mengi lakini nataka ufahamu moyo wangu na kila kitu changu ni chako nataka kukupenda milele,"

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki,

anitanderu: Congratulations to you bothπŸΎπŸŽˆπŸŽŠπŸŽ‰

talliaoyando: Congratulations 🎊🍾

millychebby: Congratulations πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘

djmzito: Congratulaions bro all the best

 

chriskirwa: Wow awesome πŸ‘ πŸ‘πŸ‘πŸ‘ Congratulations @thecremedelacreme and @deekingsky πŸ™βœŠZawadi will decide dress code πŸ˜€πŸ˜€ kwisha Nyinyi

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved