logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hendisheki ilikuwa faida kwa Rais Uhuru Kenyatta-Mbunge Didmus adai

"Nataka kusema ukweli na wacheni kuwadanganya wananchi wa Kenya

image
na Radio Jambo

Habari16 March 2021 - 08:53

Muhtasari


  • Didmus Barasa asema haya kuhusu hendisheki,na kusema kwamba ilikuwa faida kwa rais Uhuru Kenyatta
Mbunge wa Kimilili Didimus Barasa

Mbunge wa Kimilili Didmus Barasa akiwa kwenye mahojiano na runinga moja humu nchini siku ya Jumanne, Machi 16 alisema kwamba hendisheki ilikuwa faida kwa rais Uhuru Kenyatta na wala sio kwa nchi nzima wala Raila Odinga.

Usemi wake unajiri baada ya hendisheki kufikisha miaka mitatau, na baada ya James Orngo kudai kwamba kuna watu ambao wamo serikalini wamepanga kumtema Raila Odnga.

"Nataka kusema ukweli na wacheni kuwadanganya wananchi wa Kenya. hendisheki ilikuwa faida kwa Rais Uhuru Muigai Kenyatta

 
 

Lakini haikuwa faida kwa Raila Odinga wala nchi nzima. Mpango huo umekwisha, na ndiyo sababu ana mpango wa kumtema na kumuacha Raila Odinga kama alivyofanya kwa DP William Samoei Ruto. " Alizungumza Didmus.

Baada ya tetesi hizo baadhi ya viongozi w chama cha ODM wanamtaka Raila kujiunga na naibu William Ruto mbele ya uchaguzi mkuu wa waka wa 2022.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved