logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Orodha ya marais wa Afrika walioaga dunia wakiwa mamlakani

Wengi waliombolezwa kwa nia tofauti, huku wengi wakiacha pengo kubwa serikalini.

image
na Radio Jambo

Grafiki22 March 2021 - 09:52

Muhtasari


  • Orodha ya marais wa Afrika walioaga dunia wakiwa mamlakani
  • Wengi waliombolezwa kwa nia tofauti, huku wengi wakiacha pengo kubwa serikalini
Marehemu rais John Pombe Magufuli

Afrika kwa muda sasa imewapoteza marais ambao wamekuwa mamlakani kwa muda mrefu na hata wameaga ama waliaga dunia wakiwa mamlakani.

Vifo vya baadhi ya marais hao viliwashtua wengi na wananchi kwa jumla.

Wengi waliombolezwa kwa nia tofauti, huku wengi wakiacha pengo kubwa serikalini.

 

Hii hapa orodha ya marais wa Afrika ambao waliaga dunia wakiwa mamlakani;

1.John Pombe Magufuli

Hayati Magufuli aliaga dunia Machi 17 2021 kutokana na matatizo ya moyo, mwendazake alikuwa rais wa tano wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

2.Pierre Nkurunzinza

Pierre aliaga dunia mwaka wa 2020 8 JUni, alikuwa ametawala nchi ya Burundi kwa miaka 15.

3.John Evans Fiifi

Alikuwa rais wa Ghana, ambaye aliaga dunia akiwa mamlakani, hayati aliaga dunia  julai,24,2012, Evans aliaga dunia akipokea matibabu.

 

4.Michael Sata

Aliaga dunia mwaka wa 2014, Oktoba  alipokuwa anapokea matibabu nchini London, alikuwa rais wa tano wa nchi ya Zambia.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved