logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Leo ni siku ya kuzaliwa ya rafiki yangu mpendwa,'Lulu Hassan amwandikia mumewe ujumbe maalum siku yake ya kuzaliwa

Wawili hao hawajawahi patwa na hofu ya kumsifia mwenzake kwenye mitandao ya kijamii.

image
na Radio Jambo

Habari17 April 2021 - 21:15

Muhtasari


  • Lulu Hassan amwandikia mumewe ujumbe maalum siku yake ya kuzaliwa
  • Wawili hao hawajawahi patwa na hofu ya kumsifia mwenzake kwenye mitandao ya kijamii
familia ya lulu hassan na rashid abdalla

Wanahabari Lulu Hassan na Rashid Abdalla ni wanandoa ambao huwafurahisha wengi na kupigiwa mfano na baadi ya wanandoa.

Wawili hao hawajawahi patwa na hofu ya kumsifia mwenzake kwenye mitandao ya kijamii.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa mwanahabari Lulu alimwandikia mumewe ujumbe maalum alipokuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa.

"Ni siku ya kuzaiwa na rafiki yangu mpendwa, mwanahabari mwenzangu, mfumo wangu wa msaada siku ya kuzaliwa ya baba wa watoto wangu," Aliandika Lulu.

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki wakimtakia mwanahabari huyo siku njema;

neemasulubu: Happy birthday boss kubwa 🎉

vinnykiosh: Happy birthday rashid abdalla#sisemi kitu

farhana_oberson: power couple 😍

ms_anita254: happy birthday to him may he continue shining❤️❤️❤️

shilla_maimuna: 🔥🔥Simama basi tukuone jamani😊in love with the Abaya Ma Sha Allah. Happy birthday to him

tinaargwings: Eeeish!! Happy birthday to him


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved