logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hongera!Mashabiki wampongeza msanii Avril huku akijitayarisha kutoa albamu mpya

Pia alifichua kwamba amekuwa akifanya bidii yake kwa ajili ya albamu hiyo karibu mwaka mmoja.

image
na Radio Jambo

Habari29 April 2021 - 11:55

Muhtasari


  • Avril kutoa albamu mpya,mashabiki wampongeza
avril

Sauti yake msanii Judith Nyambura almaarufu Avril inapendwa na mashabiki wake, ni msanii ambaye amekuwa kwa tasnia ya burudani kwa zaidi ya miaka 5.

Avril amepokea tuzo nyingi za uigizaji pia za usanii wake, kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram msanii huyo alitangaza habari njema kuwa atatoa albamu mpya Aprili,30,2021.

Pia alifichua kwamba amekuwa akifanya bidii yake kwa ajili ya albamu hiyo karibu mwaka mmoja.

Avril alishukuru wale wote ambao wamekuwa wakifanya kazi nao, ili kufanikisha albamu yake.

"Karibu mwaka mmoja nikifanya kazi kwa ajili ya albamu hii, inagharimu kijiji na nashukuru kwa ajili ya kijiji hiki,"Aliandika.

Albamu yake Avril iinafahamika kama 'Spirit'.

Mashabiki walichukua fursa hiyo kumpongeza Avril kwa kazi yake nzuri, na hizi hapa baadhi ya jumbe zao

pryshonafrica: πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ they’re really not ready

victoria_wangeci: Just tell us where to buy it. Congrats mama. πŸ‘

marketinginafrica: So beautiful we wish you all the success. We can't wait for the launch . Africa rising πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œβ€οΈ

theboybleezy: πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ QueenπŸ™ŒπŸ˜

dianamumbua: Can't waitπŸ‘πŸ‘πŸ˜πŸ”₯


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved