logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Baa kufungwa saa moja usiku,kafyu kuanzia saa nne usiku kote nchini

Pia rais amesema kwamba kafyu itaanza kuanzia saa nne usiku hadi saa kumi alfajiri nchini kote.

image
na Radio Jambo

Habari01 May 2021 - 09:44

Muhtasari


  • Baa kufunguliwa hadi saa moja usiku,kafyu kuanzia saa nne usiku kote nchini

Rais Uhuru Kenyatta akihutubia taifa siku ya sikukuu ya labour day, amesema kwamba baa zote kufunguliwa hadi saa moja usiku.

Pia rais amesema kwamba kafyu itaanza kuanzia saa nne usiku hadi saa kumi alfajiri nchini kote.

Uhuru ameongeza muda wa  amri ya kuingia na kutoka katika kaunti tano alizoweka vikwazo vipya.

Kaunti hizo tani ni pamoja na Nairobi, Kajiado,Nakuru,Kiambu na Machakos.

Muda wa kafyu katika kauntti hizo tano utaanza kuanzia saa nne, na kutoa alivyoweka kuanzia saa mbili usiku.

Rais amesema kwamba ameamua hayo baada ya maambukizi ya corona kuteremka.

Mengi yafuata;

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved