logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Kugombana na watu wazima ni kujitafutia laana,'Wema Sepetu amjibu Zari Hassan

Kupitia kwenye sekta ya Maoni Zari alikejeli umbo wa mwili wake Sepetu kwa maana alikuwa amekonda.

image
na Radio Jambo

Habari12 May 2021 - 21:27

Muhtasari


  • Mitandao ya kijamii kwa muda imeweka moto baada ya waliokuwa wapenzi wake staa wa bongo Diamond Platnumz, Zari Hassan na Wema Sepetu kurushiana makonde kwenye mitandao ya kijamii
  • Kupitia kwenye sekta ya Maoni Zari alikejeli umbo wa mwili wake Sepetu kwa maana alikuwa amekonda

Mitandao ya kijamii kwa muda imeweka moto baada ya waliokuwa wapenzi wake staa wa bongo Diamond Platnumz, Zari Hassan na Wema Sepetu kurushiana makonde kwenye mitandao ya kijamii.

Kupitia kwenye sekta ya Maoni Zari alikejeli umbo wa mwili wake Sepetu kwa maana alikuwa amekonda.

Kwa haraka sana alifuta maoni yake, lakini kwa haraka sana Wema amjibu Zari huku akisema kwamba hamna haja ya kubshana na watu wakubwa huku mashabiki wakidai kwamba Wema anaamini bado yuko mdogo.

 

Wema Sepetu alipakia video na kuandika ujumbe ufuatao;

"Kugombana na watu wazima ni kujitafutia laana... Na mimi nina heshima sana kwa wakubwa zangu... Pia ni mskivu... Nafanyia kazi ushauri... ☺️☺️☺️," Aliandika Sepetu.

Pia kulingana na mashabiki wao wote wawili wamezeeka na wanapaswa kuachana kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii.

Haya hapa baadhi ya maoni ya mashabiki;

romyjons: NDIO MNAFTURU DADA ANGU MSIKIVU???

manka_njau: Sasa wewe ni mtoto jaman 😂😂😂😂

did_clothing_line: Wali wa Msaada Kutoka South Africa

 

officialwemasepetufans: Jibu link kama umelipenda gonga like yako hapa.... Hatugombani na watu wazima sie😂😂😂😂

ngimbasuzy: Ni kweli zari amekuzid vitu vig mnooo fanyanyia kaz ushaur wake

aisharashid786: Kwa utoto huna Shoga kisa umejiweka Kua Mop sorry nakupenda ila ukweli uambiwe mpenz huna utoto

itc_alyah: zari ni mtu mzima lakin kila kukicha kubishana mtandaoni..anataka kuongelewa kupitia jina la wima mxiu🙄

njeymarneymarzer: Chakula tunacho😂😂 Masada wake akagawe Uganda kwao

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved