logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanasoka wa Kenya ajiunga na Arsenal

Ben 'Lionel' Messo wa miaka 8 amejiunga na shule cha kufunza kandanda ya Arsenal mjini London

image
na Radio Jambo

Habari19 May 2021 - 09:23
Ben Messo na babake

Mwanasoka mmoja Mkenya mwenye umri wa miaka nane amejiunga shule ya kufunza kandanda ya Arsenal nchini Uingereza.

Ben Messo aliyeandamana na babake Eugene Messo alitia saini mkataba na kilabu hicho siku ya Jumanne. Messo aliweza kukutana na mchezaji wa kitambo wa klabu hiyo na ambaye ndiye kocha wa shule hiyo ya kandanda, Per Mertasaker na baadhi ya wanafunzi wengine wa soka.

Hizi hapa picha za Messo akiwa shukeni humo


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved