logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Orodha ya wanakandanda waliozirai wakiwa uwanjani

Katika makala haya tutazingatia wachezaji ambao wamewahi zirai uwanjani.

image
na Radio Jambo

Habari14 June 2021 - 11:42

Muhtasari


  • Orodha ya wanakandanda waliozirai wakiwa uwanjani

Wachezaji wengi wa soka mara moja wamezirai uwanjani, mara ya hivi karibuni Jumamosi usiku wakati wa Euro 2020 katika mechi kati ya Denmark na Finland.

Katika makala haya tutazingatia wachezaji ambao wamewahi zirai uwanjani.

1.Christian Eriksen

Eriksen alizirai uwanjani wakati akiwakilisha nchi yake Denmark katika mechi ya euro 2020 dhidi ya Finland.

Tukio hilo lilifanyika  usiku wa Juni 12, kuanguka kwake kwa ghafla kulikuwa na mshtuko wa kweli kwa ulimwengu wanakandanda.

2.Miklos Feher

Feher alizirai akichezea klabu  ya Kireno Benfica mwaka 2004. Mchezaji huyo wa Hungary alikimbizwa hospitali lakini aliaga dunia akipokea matibabu.

3.Antonio Puerta

Mchezaji wa zamani wa Sevilla mara moja alizirai uwanjani wakati akicheza dhidi ya Getafe katika Laliga

4.Bafetimbi Gomis 

Bafetimbi amezirai uwanjani i mara kadhaa. Mshambuliaji wa Kifaransa alizirai wakati wa mchuano kati ya Swansea, Al-Hilal na Galatasaray

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved