logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Tunakushukuru papa,' Soma ujumbe wake Zari Hassan kwa baba ya watoto wake Diamond

Watu wengi walikuwa wamesema kwamba labda Diamond alikuwa na maswala ya uzazi.

image
na Radio Jambo

Habari25 July 2021 - 09:02

Muhtasari


  • Soma ujumbe wake Zari Hassan kwa baba ya watoto wake Diamond

Zari the boss lady ndiye alikuwa mwanamke wa kwanza katika maisha ya Diamond ambaye walibarikiwa na watoto pamoja.

Kabla ya Diamond kuchumbiana  na Zari, Diamond alikuwa akichumbiana na mwanamitindo bora wa Tanzania Wema Sepetu. Hata hivyo Wema alijaribukupata ujauzito wake Diamond lakini nguvu zake ziliambulia patupu.

Watu wengi walikuwa wamesema kwamba labda Diamond alikuwa na maswala ya uzazi.

Walakini Zari alithibitishia Ulimwengu kuwa  makosa alikuwa mwanamke wa kwanza katika maisha ya Diamond baada ya kubarikiwa na kifungua mimba Princee Tiffah.

Diamond na Zari walipendana sana .

Leo Zari ameamua kuposti picha ya kifamilia na Diamond na Zari ametoa maoni kuwa anamthamini sana Diamond akiwa mtu wa familia.

Huu ni ushahidi halisi kwamba upendo wa kweli husamehe na hauzingatii matendo mabaya.

"Inachukua tu jasiri kugeuka na kufanya jambo sahihi. Tabasamu kwenye @princess_tiffah & @princenillan hazina bei. Tunakushukuru wewe papa 🙏," Aliandika Zari.

Je kuna uwezekano kwamba wawili hao wanweza rudiana?


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved