logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Rashid Abdalla na Lulu Hassan wamnakilia mwana wao jumbe za kipekee anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa

Lulu Hassan alimuomba Mungu ampe mwanawe marafiki wa kweli na kumzunguka na amani.

image
na Radio Jambo

Habari09 August 2021 - 11:05

Muhtasari


  • Rashid Abdalla na Lulu Hassan wamnakilia mwana wao jumbe za kipekee anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa
familia ya lulu hassan na rashid abdalla

Mwanahabari Lulu Hassan na mumewe Rashid Abdalaa kupita kwenye ukuasa wao wa instagram walimtakia mtoto wao heri njema ya siku yake ya kuzaliwa.

Ndoa ya wanahabari hao ni ya kupigiwa mfano na wengi na kutamanika na wengi, wawali hao wamekuwa wakifanya kazi ya utangazaji pamoja kwa zaidi ya miaka 3.

Lulu Hassan alimuomba Mungu ampe mwanawe marafiki wa kweli na kumzunguka na amani.

Ni matamanio ya kila mzazi kumuona mwanawe anakuwa na akiwa na afya njema kila kuchao.

"Nimemjua huyu champ kwa miaka kumi sasa 😂😂😂❤️❤️❤️na na siku hii naomba kwamba Mwenyezi Mungu azunguke na amani, ustawi, marafiki wa kweli, furaha ya kweli siku zote za maisha yako mazuri na muhimu zaidi afya njema❤️❤️ ❤️

Karibu katika awamu ya tarakimu mbili ❤️❤️🙏🏽," Aliandika Lulu.

Mumewe naye alikuwa na haya ya kumwandika mwanawe akisherehekea siku yake ya kuzaliwa;

"#sisemikitu Siku kama ya leo alizaliwa mwanangu Jibran. Haitakuwa dhambi tukimtakia heri njema na kumuombea mema,"

Hizi hapa jumbe za mashabiki;

neemasulubu: Happy birthday Jibran😍😍

nyakundi_isaboke: Happy birthday jibran

bridgetshighadi: Happy birthday handsome.. ❤️❤️

kanze_dena: Happy birthday jibby!!!

shiru103: Happy birthday🎂🎂🎂🎉🎉🎺🎈


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved