logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+VIDEO) SK Macharia azawadiwa gari na mkewe akisherehekea siku yake ya kuzaliwa

Macharia ni miongoni mwa watu mashuhuri ambao wametia bidii na wamekuwa wakitia bidii katika kazi yao

image
na Radio Jambo

Habari04 October 2021 - 11:04

Muhtasari


  • SK Macharia azawadiwa na Range Rover na mkewe akisherehekea siku yake ya kuzaliwa

Mkurugenzi mkuu katika kampuni ya Royal Media Services SK Macharia amezawadiwa na gari la aina ya Range Rover na mkewe anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Kupitia kwenye video iliyoenea sana mitandao mkewe Purity anaonekana akiwa amemshika mkono kumwelekeza Macharia mahali ambao gari hilo lilikuwa limeegeshwa, huku wakiimba wimbo wa kumtakia heru njema anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Macharia ni miongoni mwa watu mashuhuri ambao wametia bidii na wamekuwa wakitia bidii katika kazi yao na kupata utajiri wao.

Miezi miwili iliyopita  Machari aliweka wazi kwamba adad yake mkubwa aliozwa kwa mwanamume ili apate karo ya shule.

Baadhi ya wakenya walimpongeza mkewe Macharia kwa kuhibitisha kwamba yeye ni mke kamili na kwa kumzawadi mumewe.

Heri njema siku yako ya kuzaliwa Macharia

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved