logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Baba mkwe alinipachika mimba-Mwanadada amtobolea mumewe siri

Kulingana na mwanadada huyo licha ya kuolewa na mumewe, amepachikwa mimba na baba mkwe.

image
na Radio Jambo

Habari28 February 2022 - 14:53

Muhtasari


  • Alikiri kwamba baada ya kumuoa na kumuacha nyumbani, baba yake alichukua husukani na hata kumkodishia nyumba sokoni

Katika kitengo cha toboa siri katika Rdaiojambo, mwanadada alimwaya mtama baada ya kuku kuwa wengi.

Kulingana na mwanadada huyo licha ya kuolewa na mumewe, amepachikwa mimba na baba mkwe.

Alikiri kwamba baada ya kumuoa na kumuacha nyumbani, baba yake alichukua husukani na hata kumkodishia nyumba sokoni.

Hii hapa siri yake;

"Nataka kumtobolea mume wangu siri nimwambie kwamba ujauzito nilio nao wa miezi saba sio wake bali ni wa baba yake mzazi, ulinioa na kuniacha nyumbani kwenu

Ukweli ni kuwa kwamba ujauzito ni wa baba yako, na kwamba siyuko kwetu baba yako amenikodishia nyumba sokoni ili awe akinitembelea vyema." Alitoboa siri mwanadada huyo.

Je hiyo ni laana au ni mapenzi yalizidi baada ya mumewe kuondoka?

 

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved