logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Jimal afunguka kuhusu hali ya afya ambayo amekuwa akipambana nayo tangu shule ya upili

Tajiri huyo wa Nairobi alishiriki chapisho akizungumzia hali yake.

image
na Radio Jambo

Habari07 March 2022 - 08:39

Muhtasari


  •  Marlow alishiriki chapisho refu kwenye mitandao yake ya kijamii akifichua hali ambayo amekuwa akipambana nayo

Mwenyekiti wa Nairobi Matatu Sacco, Jimal Roho Safi amefunguka kuhusu hali ya kiafya ambayo amekuwa akipambana nayo tangu alipokuwa katika shule ya upili.

Tajiri huyo wa Nairobi alishiriki chapisho akizungumzia hali yake.

JImal amekuwa akijulikana kwa muda sasa. Hii ni tangu aanze kuchumbiana na mwanasosholaiti Amber Ray.

 

 Marlow alishiriki chapisho refu kwenye mitandao yake ya kijamii akifichua hali ambayo amekuwa akipambana nayo.

Marlow alidai kuwa amekuwa akipambana na kukosa usingizi tangu alipokuwa katika shule ya upili.

Kwenye chapisho hilo, mfanyabiashara huyo alisema kuwa hajawahi kulala kwa zaidi ya saa tano tangu maisha yake ya shule ya upili.

Mfanyabiashara huyo aliendelea na kufichua kwamba alilala saa 11 jioni na kufikia 2:30 asubuhi alikuwa tayari ameamka. Wanamtandao wamemhimiza atafute matibabu.

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved