logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(Video) Ferdinand Omanyala azidi kutamba katika mita 100

Omanyala alisajili muda bora zaidi katika bara la Afrika mwaka huu

image
na Radio Jambo

Habari14 April 2022 - 07:28

Muhtasari


• Omanyala alisajili muda bora zaidi katika bara la Afrika mwaka huu

Ferdinand Omanyala alimshinda Akan Simbine kunyakuwa taji la mita 100 katika kinyang'anyiro cha ubingwa nchini Afrika Kusini. 

Huku hayo yakijiri Rais Uhuru Kenyatta amempongeza mwanariadha Ferdinand Omanyala kwa kushinda mbio za mita 100 katika mashindano ya Athletix Grandprix 4 nchini Afrika Kusini siku ya Jumatano.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved