logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Aliniacha na mtoto mchanga sana akatoroka,'Mwanamke amwanika mumewe

Baada ya kumfikia mkewe, Mama Ibrah alisema kwamba mumewe alimtoroka na kumuacha.

image
na Radio Jambo

Habari22 April 2022 - 05:52

Muhtasari


  • Siku ya Ijumaa bwana Levy allituma ujumbe ili apatanishwe na mke wake ambaye alidai kwamba amekuwa akinuna kila siku nyumbani
Gidi na Ghost asubuhi

Siku ya Ijumaa bwana Levy allituma ujumbe ili apatanishwe na mke wake ambaye alidai kwamba amekuwa akinuna kila siku nyumbani.

"Naomba nipatanishwe na mke wangu, ambaye amekuwa akinuna nyumbani bila ya kuniambia sababu ya kununa, naona anashuku kwamba nina mpango wa kando lakini sina

Pia nikiongea na mtu kwa simu anadhani naongea na mwanamke,mimi sio mlevi wala sina mpango wa kando."

Baada ya kumfikia mkewe, Mama Ibrah alisema kwamba mumewe alimtoroka na kumuacha.

"Sijui kwa nini amenipeleka kwa Radio na ni yeye alinitoroka na kuniambia kwamba anaenda kazi aliniacha na mtoto mdogo ambaye ananyonya

Arudi nyumbani ili tuweze kuongea,"Alisema mkewe Levy.

Kwa mengi zaidi tembelea Radio Jambo Youtube.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved