logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+VIDEO)Tazama jinsi Rashid alivyooshwa kwa pesa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa

akisherehekea siku yake ya kuzaliwa alimshukuru mama

image
na Radio Jambo

Habari09 May 2022 - 12:14

Muhtasari


  • Mkewe Lulu Hassan alikuwa miongoni mwa marafiki ambao walimwekea sherehe huku wakimuosha kwa pesa

Huku akisherehekea siku yake ya kuzaliwa mwanahabari wa runinga ya Citizen Rashid Abdalla alipokea zawadi tofauti na hata kuoshwa kwa pesa na marafiki zake.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram akisherehekea siku yake ya kuzaliwa alimshukuru mama yake kwa kuwa naye na kumlea tangu utotoni na baada ya baba yake kuaga dunia.

"Alhamdullilahi it’s my birthday. Asante mamangu kwa kila jambo najua haijakuwa raisi wewe kunilea peke yako baada ya baba kufariki lakini ulijitahidi. Nakuombea Mungu akusamehe dhambi zako, Mola akujalie neema na baraka, Maulana akupe umri mrefu wenye afya njema na amali njema."

Mkewe Lulu Hassan alikuwa miongoni mwa marafiki ambao walimwekea sherehe huku wakimuosha kwa pesa.

Hii hapa video ya sherehe hiyo huku Rashid akioshwa kwa pesa;

 

 

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved