logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Mke wangu ni mrembo kumshinda hawezi nipata,'Omanyala amjibu Huddah Monroe

Zaidi ya yote Omnayala amekiri mkewe ni mrembo kumliko Huddah.

image
na Radio Jambo

Habari14 May 2022 - 06:50

Muhtasari


  • Hii ni baada ya kukiri kwamba wanaume waafrika hawajui kupenda au kudekeza wapenzi wao
  • Huku mwanariadha huyo akizungumza kuhudu jambo hilo amesema kwamba hana haja na mwanasosholaiti huyo
Ferdinand Omanyala

Siku chache ziliopita HUddah Monroe aliomba kuunganishwa na mwanariadha maarufu nchini Omanyala.

Hii ni baada ya kukiri kwamba wanaume waafrika hawajui kupenda au kudekeza wapenzi wao.

Huku mwanariadha huyo akizungumza kuhudu jambo hilo amesema kwamba hana haja na mwanasosholaiti huyo.

Zaidi ya yote Omnayala amekiri mkewe ni mrembo kumliko Huddah.

Katika mahojiano ya simu , Omanyala alizungumzia pendekezo hilo. Alicheka swali juu yake kukutana na Huddah na kuwa marafiki.

Kisha akasema, "Shetani Ashindwe! Huyo Hata Akituma Nini Bana Hawezi Nipata. Kitu Anaweza Pata Lay Nina. Simtaki, Nishafunga Hiyo Safari.

Omanyala akijibu swali la kuwa rafiki yake HUddah alisema kuwa;

"Hiyo itaniweka tu katika matatizo kwa sababu ndivyo inavyoanza na kisha inakua ndani ya kitu kingine. Katika ngazi mimi niko, kuna mambo unayohitaji kuepuka."

Alielezeakuwa amepitia hayo na mashabiki wa kike. Na yote anayotaka ni kuepuka shida yoyote na wanawake.

"Sio tu Huddah, nitaondoka! Ikiwa ninaona mwanamke yeyote anakuja kwangu na nia hizo zinazofanana, ninaondoka. Ninaondoa haraka kama kipchoge, haraka sana. Mimi ni mwaminifu sana kwa mke wangu."

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved