logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Willis Raburu na mpenzi wake watarajia mtoto wa pili

Wawili hao walibarkiwa na mtoto wao wa kwanza mwaka jana.

image
na Radio Jambo

Habari26 May 2022 - 09:29

Muhtasari


  • Willis Raburu na mpenzi wake watarajia mtoto wa pili

Mtangazaji wa runiga ya Citizen Willis Raburu na mpenzi wake Ivy Namu wanatarajia mtoto wao wa pili.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Willis aliwatangazia mashabiki wake habari hizi njema.

Wawili hao walibarkiwa na mtoto wao wa kwanza mwaka jana.

Mashabiki walichukua fursa hiyo na kumpongeza mtangazaji huyo na hizi hapa baadhi ya jumbe zao;

akotheekenya: Aaah bazu you fire congratulations πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘

tamymoha_: Eeeeiiii...Congratulations sanaaaa...na hamcheziii @willisraburu πŸ˜‚πŸ˜‚β€β€β€

loliphotographer: O Gosh. Congratulations guys ❀️πŸ”₯πŸ™Œ

sianmwangi: YEEEIIIYYY!!! More to the Fam! Congratulations, my peoples! 😍❀️❀️❀️

linetkendi_: Woooo congratulations 😍😍


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved