logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Mario sio mpenzi wangu,'Michelle Ntalami afunguka kuhusu uhusiano wake wa kimappenzi

Chipmunk akiwa ameshika mkono wa Michelle alimbusu alipogeuza kamera kwake.

image
na Radio Jambo

Habari24 June 2022 - 09:13

Muhtasari


  • Wawili hao walionekana kupendeza huku mashabiki wakidai kwamba,Mario ndiye chumba wake wa sasa
Michelle Ntallami

Michelle Ntalami siku ya Alhamisi aliwaacha mashabiki wwake midomo wazi huku wengi wakimpongezza baada ya kupakia picha na video akiwa na na mpenzi mpya.

Wawili hao walionekana kupendeza huku mashabiki wakidai kwamba,Mario ndiye chumba wake wa sasa.

Mashabiki na wanamitandao walidhani MItchelle amempata mpenzi mpya, hii ni baada ya miezi kadhaa baada ya kuachana na Makena Njeri.

Baada ya kuachana kwao Mitchelle hajawahi mtambulisha mpenzi mpya mitandaoni,lakini kuonekana kwa video na picha zake mitandaoni kuliwafanya wengi kudhani kwamba ana mchumba mpya.

Chipmunk akiwa ameshika mkono wa Michelle alimbusu alipogeuza kamera kwake.

"Ninahisi kupendwa tena," yalisomeka nukuu ya Michelle.

Kwenye Insta ya Chipmunk, aliandika;

"Heri ya kuzaliwa mtoto #thirtyATE Kwa kupenda, furaha, uponyaji na mwaka wako mpya @michelle.ntarami."

Michelle pia alishiriki picha nzuri kwenye ukurasa wake akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na marafiki zake wa karibu na familia.

Alitarajia kuwa na furaha katika mwaka wake mpya.

Naam, Michelle amekana kuchumbiana na Mario.

"DM yangu inavuma kwa jumbe za 'Nina furaha sana kwa ajili yako'.. Hapana, sichumbiwi na Mario. Nilisukumwa na hisia na kuhisi tu. wa kipekee wakati huo Nyie mna haraka sana, hivi ndio mnafikia hitimisho,"Michelle aliandika

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved