logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Karungo Thang'wa achaguliwa kuwa seneta Kiambu

Thang’wa ambaye aliwania kwa tiketi ya UDA alinyakua kiti hicho baada ya kupata kura 579,411.

image
na Radio Jambo

Habari13 August 2022 - 22:36
katika mkutano wa kisiasa wa UDA

Aliyekuwa CEC wa Kiambu Karungo wa Thang'wa ameshinda kiti cha useneta wa kaunti hiyo.

Thang’wa ambaye aliwania kwa tiketi ya UDA alinyakua kiti hicho baada ya kupata kura 579,411.

Alimshinda mshindani wake wa karibu George Maara wa Jubilee ambaye alipata kura 112,304.

Thang’wa sasa atamrithi Seneta wa sasa Kimani Wamatangi ambaye amechaguliwa kuwa gavana wa kaunti hiyo.

Alikabiliana na wagombea sita ambao waliidhinishwa na IEBC.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved