logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nimebarikiwa sana kuwa na mwanamke kama wewe-Raila Junior kwa mama yake

Ida amekuwa akionekana akimuunga Riala mkono katika safari yake ya siasa.

image
na Radio Jambo

Dakia-udaku24 August 2022 - 20:12

Muhtasari


  • Wakenya wa tabaka mbalimbali wameendelea kumtakia Bi Ida kheri ya siku ya kuzaliwa na kumuombea baraka maishani

Huku mkewe kinara wa ODM Ida Odinga akisherehekea siku yake ya kuzaliwa amepoke jumbe nyingi kutoka kwa mashabiki na hata familia.

Mke huyo wa mgombea urais wa Azimio-One Kenya Raila Amollo Odinga anasherehekea kutimiza miaka 72.

Wakenya wa tabaka mbalimbali wameendelea kumtakia Bi Ida kheri ya siku ya kuzaliwa na kumuombea baraka maishani.

Mwanawe Ida,Raila Junior alimsherehekea mama yake kwa ujumbe wa kipekee na hata kumshukuru kwa kuwa mama yake.

Ida amekuwa akionekana akimuunga Riala mkono katika safari yake ya siasa.

Raila Junior aliandika;

"Nimebarikiwa sana kuwa na mwanamke kama wewe katika maisha yangu.Umenionyesha upendo mkuu na huruma kwa miaka yote na ninakushukuru sana kwa hilo.Heri ya Kuzaliwa kwako leo, mama."

 

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved