logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hongereni-Raila awapongeza wabunge wa EALA kutoka Azimio

Katika taarifa yake Ijumaa, Raila aliwapongeza akisema watatimiza tamko la Azimio la EAC. "

image
na Radio Jambo

Habari18 November 2022 - 14:30

Muhtasari


  • Muungano huo utawakilishwa na Kennedy Kalonzo, Winnie Odinga, aliyekuwa mbunge wa Kieni Kanini Kega na mfanyibiashara Suleiman Shahbal

inara wa Azimio Raila Odinga amewapongeza viongozi wanne waliochaguliwa kuwakilisha Kenya katika Bunge la Afrika Mashariki.

Muungano huo utawakilishwa na Kennedy Kalonzo, Winnie Odinga, aliyekuwa mbunge wa Kieni Kanini Kega na mfanyibiashara Suleiman Shahbal.

Katika taarifa yake Ijumaa, Raila aliwapongeza akisema watatimiza tamko la Azimio la EAC. "

Tamko la Azimio lilitolewa Arusha na Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1976. Tunajivunia kwamba leo muungano wa Azimio La Umoja One Kenya unatuma wabunge wake Arusha kutimiza Azimio la Azimio la Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hongereni sana!" Alisema.

Kennedy alizoa kura 262 akifuatiwa na Winnie aliyepata kura 247, Kega (197) na Shahbal (181).


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved