logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wafahamu washindi wa tuzo za Tanzania Music Awards 2023

Rapa wa Kenya Khaligraph Jones alitambuliwa kama mwimbaji bora wa Afrika Mashariki.

image
na Radio Jambo

Habari03 May 2023 - 04:19

Muhtasari


•Wikendi, mastaa kadhaa walituzwa katika vitengo mbalimbali vya tuzo maarufu za Tanzania Music Awards, 2023.

•Bosi wa Konde Music Wordwide Rajab Abdul Kahali almaarufu Harmonize alitambuliwa kama msanii bora wa kiume huku Zuchu wa WCB akituzwa kuwa msanii bora wa kike.

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved