logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Maisha London' kwa wafungwa CS Kindiki akipokea mapendekezo ya kuwaboreshea maisha

Kindiki pia aliwahakikishia kupewa ruhusa ya kuzungumza na wanafamilia wao

image
na Radio Jambo

Habari09 May 2023 - 11:49

Muhtasari


• Kila mfungwa ambaye atapelekwa mahakamani kuhudhuria kusikilizwa kwa kesi yake atapewa chakula cha mchana  baada ya kikao.

• Wafungwa hao pia watakabidhiwa na sare mpya, mbili kila mmoja ili kubadilisha akiwa jela.

Baadhi ya mapendekezo ya CS Kindiki kuhusu wafungwa gerezani.

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved