logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanaridha wa Kenya anayeshikilia rekodi ya dunia asimamishwa kwa muda

Mnamo 2020 Rhonex Kipruto alivunja rekodi ya dunia ya mbio kilomita 10 huko Valencia.

image
na Radio Jambo

Habari18 May 2023 - 03:47

Muhtasari


•Mwanariadha Rhonex Kipruto amesimamishwa kwa muda kwa madai ya ukiukaji wa matumizi ya dawa za kusisimua misuli.

Mwanariadha wa Kenya anayeshikilia rekodi ya dunia amesimamishwa kwa muda kwa madai ya ukiukaji wa matumizi ya dawa za kusisimua misuli, Kitengo cha Uadilifu cha Riadha (AIU) kinasema.

Mnamo 2020 Rhonex Kipruto alivunja rekodi ya dunia ya mbio kilomita 10 huko Valencia

Pia alishinda medali ya shaba kwenye Mashindano ya Dunia ya 2019 kwa utendaji wake katika mbio za mita 10,000.

Kesi itaamua hatima yake ya mwisho.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved