logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mackenzie afikishwa mahakamani baada ya kukaa rumande kwa siku 30

Hakimu Yusuf Shikanda aliruhusu polisi kuwashikilia Mackenzie, mkewe Rhoda Maweu, na washtakiwa wengine 16 kuhusiana na vifo vya zaidi ya watu 240.

image
na

Habari02 June 2023 - 08:01

Muhtasari


•Kiongozi wa kanisa tata la Malindi Paul Mackenzie na washukiwa wenzake wengine 17 wamefikishwa mahakamani.

Baada ya kukaa chini ya ulinzi wa polisi kwa zaidi ya mwezi mmoja, kiongozi wa dhehebu tata la Malindi Paul Mackenzie na washukiwa wenzake wengine 17 wamefikishwa mahakamani.

Mwezi uliopita, Hakimu Mkuu Mwandamizi Yusuf Shikanda aliruhusu polisi kuwashikilia Mackenzie, mkewe Rhoda Maweu, na washtakiwa wengine 16 kuhusiana na vifo vya zaidi ya watu 240 waliofukuliwa kutoka msitu wa Shakahola.

DPP na DCI walikuwa wameomba angalau siku 90 kuwachunguza washukiwa lakini wakapewa siku 30 ambazo zilikatika siku ya Ijumaa.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved