logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Marais wa Afrika waliotawala kipindi kifupi zaidi

Ernest Shonekan alikuwa rais wa Nigeria mwaka 1993, alipinduliwa baada ya Miezi Miwili.

image
na Radio Jambo

Habari14 September 2023 - 14:17

Muhtasari


• Yusuf Lule alitawala Uganda baada ya mapinduzi ya mwezi Aprili, 1979, lakini pia akapinduliwa baada ya siku 68.

• Tito Okello alihudumu kama rais wa Uganda kwa takriban miezi sita kutoka  kati ya Julai 1985 – Jan 1986.

• Mohamed Morsi wa Misri  alishinikizwa kutoka mamlakani baada ya mwaka mmoja. 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved