logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nafikiri nimeanza kuzoea maumivu-Msanii Nyota Ndogo akiri

Kulingana na ujumbe wake wa awali msanii huyo yuko tayari kukubali kwamba mumewe amemuacha

image
na Radio Jambo

Mahakama01 June 2021 - 06:51

Muhtasari


  • Msanii Nyota Ndogo asema ameanza kuzoea maumivu

Msanii kutoka mkoa wa pwani Nyota Ndogo yuko kwenye maumivu baada ya mumewe kuamuacha, baada ya utani wa fools day mwaka huu.

Kulingana na ujumbe wake wa awali msanii huyo yuko tayari kukubali kwamba mumewe amemuacha, na ameanza kuzoea maumivu.

Wawili hao walikuwa katia ndoa yao kwa miaka saba, msanii huyo alimtania mumewe kwamba ana ujauzito, jambo ambalo liliona mumewe kughabika na kumuacha.

"I think nimeanza kuzoea maumivu. Yani namaanisha nikama nimeanza kukubali vile. But siko sure but naona kama na endelea vizuri," Aliandika Nyota.

Awali aiwa kwenye mahojiano msanii huyo alidai kwamba hadhani kwamba mumewe alikuwa anangoja au kutafuta sababu yeyote ya kumuacha.

Pia aifichua kuwa ameekuwa akizungumza na kifungua mimba wa mumewe.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved