logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hatari! Maambukizi ya Corona Afrika yaongezeka kila uchao. Tazama takwimu za hivi punde

Hatari! Maambukizi ya Corona Afrika yaongezeka kila uchao. Tazama takwimu za hivi punde

image
na

Habari02 October 2020 - 09:29
NA NICKSON TOSI

Umefikia wakati sasa ambapo taifa la Afrika ni shari kuchukua hatua za haraka kutokana na idadi kubwa ya maambukizi yanayoendelea kushuhudiwa katika bara zima hili. Kwa sasa watu 26, 676 kote Afrika wameambukizwa virusi hivyo huku 1, 244 wakiwa wameaga dunia hadi wa leo.

Watu 7, 332 wamepata afueni baada ya kupata matibabu kote katika bara hili.

Kenya yasajili visa 303 vya corona huku mipaka ya kaunti ya Mandera ikifungwa

Kulingana na takwimu za shirika la Afya Duniani, katika ulimwengu mzima watu milioni 2.64 wameambukizwa virusi hivyo huku 18, 4280 wakiwa wamepoteza maisha .

Watu 722, 395 ulimwengunin kote wamepona dhidi ya virusi hivyo.

Matumaini Feki: Tanzania yaonywa dhidi ya kuwapa wananchi matumaini butu kuhusu coronavirus

Kwa mengi zaidi tazama dira ifuatayo ya Afrika.

Kufikia sasa Kenya imeandikisha visa 303 vya maambukizi huku waliopona wakiwa 83, walioaga dunia kutokana na viurusi hivyo ni 14.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved