logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Diamond aisuta Forbes

Diamond aliorodheshwa kama nambari 28 kwa utajiri na dhamana ya $5.1m, awaagiza Forbes kumchunguza vizuri wajue dhamana yake.

image
na Radio Jambo

Makala18 May 2021 - 08:27

Muhtasari


•Forbes ilimtaja Diamond kuwa nambari ishirini na nane akiwa na dhamana ya dola milioni 5.1

•Youssu N'dour wa Ghana alitangazwa kama mwanamuziki yule tajiri zaidi Afrika

Diamond Platnumz

Msanii tajika wa  nyimbo aina ya Bongoflava, Diamond Platnumz ameisuta kampuni ya Forbes kwa kumuweka kwenye orodha ya wanamuziki tajiri zaidi Afrika.

Mwanamuziki huyo tokea Tanzania amewasihi Forbes kufanya utafiti dhabiti kabla ya kuweka jina lake kwenye orodha ya wanamuziki tajiri zaidi Afrika.

 

Wakatimwingine mfanye utafiti mzuri ili mdhibitishe thamani yangu ya kweli kabla ya kuweka jina langu kwenye orodha yenu ya kishenzi ya wanamuziki tajiri zaidi Afrika” Diamond aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Kulingana na orodha iliyotolewa na shirika la Forbes hivi majuzi, Diamond hayupo miongoni mwa wanamuziki tajiri zaidi Afrika wa kwanza ishirini.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved