logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Njia moja kuu ya kudumisha ndoa ni kudumisha uaminifu-Msanii Vivianne asema

Vivian alisema kuwa kitu pekee ambacho kimewaweka pamoja kwa miaka mingi ni uaminifu

image
na Radio Jambo

Makala18 November 2021 - 20:02

Muhtasari


  • Vivian alisema kuwa kitu pekee ambacho kimewaweka pamoja kwa miaka mingi ni uaminifu na mapenzi ya kweli

Vivian na Sam West ni miongoni mwa wanandoa maarufu nchini Kenya. Wawili hao wamekuwa pamoja kwa zaidi ya miaka mitano na wamefanikiwa mambo kadhaa pamoja.

Vivian alishiriki picha moja wapo walipokuwa bado wapenzi wachanga. Hii ni miaka kadhaa nyuma, wakati Vivian alikuwa bado sio maarufu.

Vivian alisema kuwa kitu pekee ambacho kimewaweka pamoja kwa miaka mingi ni uaminifu na mapenzi ya kweli.

Karne hii ya sasa wanandoa wengi wamepeana talaka sababu kuu ni kutoaminiana katika uhusiano wao.

"Mimi na Sam bado tunafahamiana.. miaka mingi baadaye.. Njia moja kuu ya kudumisha ndoa ni kudumisha uaminifu..

Wakati mwenzi wako yuko wazi na mwaminifu kwako heshimu uaminifu huo. Usitumie taarifa hizo na watu wengine isivyofaa na pia usitumie taarifa hizo dhidi ya mpenzi wako," Aliandika Vivianne.

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved