logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Niko single lakini kinuthia ako sawa,'Mtumba Man asema

Kulingana na Mtumba Man, Kinuthia ndiye alimpigia simu na kumwalika katika chakula cha mchana.

image
na Radio Jambo

Makala21 April 2022 - 20:52

Muhtasari


  • Kulingana na Mtumba Man, Kinuthia ndiye alimpigia simu na kumwalika katika chakula cha mchana
Kinuthia na Mtumba Man

Waunda maudhui Kinuthia na Mtumba Man kwa siku chache wamekuwa wakivuma sana mitandaoni baada ya madai wawili hao wanachumbiana.

Mtumba Man akiwa kwenye mahojiano alikana madai hayo na kusema kwamba hawana uhusiano wa kimapenzi na Kinuthia ilhali walikuwa wanaunda maudhui.

Kulingana na Mtumba Man, Kinuthia ndiye alimpigia simu na kumwalika katika chakula cha mchana.

"Sioni shida na Kinuthia ako sawa ni mimi nitamuua mtu wa kuchumbiana naye wakenya hawawezi niamulia kwa sababu maisha ni yangu, siwezi ambiwa nimchukue Akothee, Avril lakini siwapendi

Aliponialika katika chakula cha mchana tulifanya mambo mengi kwa sababu sisi ni waunda maudhui na tunataka kujiunga na muziki, hatujafanya kitu chochote na Kinuthia cha Kimapenzi

Pia muunda maudhui huyo alisema kwamba mama yake akimkuballishia kumchumbia Kinuthia atakubali.

"Mama yangu akiniambia nimchumbie Kinuthia nitakubali," Alizungumza Mtumba Man. 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved