logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nimeachwa niko single-Akothee asema, ukweli au ni kiki?

Msanii huyo anafahamika sana mitandaoni kutoka na maisha yake anayoishi

image
na Radio Jambo

Makala22 April 2022 - 05:36

Muhtasari


  • Akothee ni miongoni mwa wasanii maarufu nchini na washawishi wakubwa katika mitandao ya kijamii

Akothee ni miongoni mwa wasanii maarufu nchini na washawishi wakubwa katika mitandao ya kijamii.

Msanii huyo anafahamika sana mitandaoni kutoka na maisha yake anayoishi, na jinsi anavyowapenda watoto wake.

Uhusiano wa kimapenzi kati ya Nelly Oaks na Akothee, ulipokelewa na hisia tofauti na wanamitandao, kwani wengi walidai kwamba Akothee ni mzee kulio mpeni wake.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram siku ya Ijumaa Akothee aiandika ujumbe na kudai kwamba ameachwa.

"Niamchwa Imagine,niko single tena hii relationship usichukulie personal," Aliandika Akothee.

Aliongeza;

"Mnakumbuka nilivyowaambiwa ninamchumba hadi pale kifo kitatutenganisha, haya basi amekusanya virago na kuenda, niko single tena watu wangu, barabara ya uhusiano kawaida inakuanga ikijengwa."


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved