logo

NOW ON AIR

Listen in Live

DP William Ruto wa kwanza kupiga kura Sugoi

Ruto alifika katika kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi ya Koschei kabla ya saa 6:00 asubuhi

image
na

Makala09 August 2022 - 03:28

Muhtasari


• Ruto alifika katika kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi ya Koschei kabla ya saa 6:00 asubuhi

DP William Ruto akiwa katika kituo cha piga kura cha Sugoi

Naibu Rais William Ruto amempigia kura Sugoi.

Mgombea urais wa Kenya Kwanza alifika katika kituo cha kupigia kura pamoja na mkewe Mama Rachel Ruto.

Maafisa wa IEBC walichukua bayometriki ya DP Ruto kabla ya kupiga kura katika kituo cha Sugoi.

Ruto alifika katika kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi ya Koschei akiwa amevalia kawaida.

Wakenya leo wanapiga kura zao katika vituo tofauti vya kupigia kura.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved