logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Rigathress;Mkewe naibu rais,apewa jina la matani

Dorcas Gachagua,mke wake naibu rais Rigathi Gachagua sasa amepewa jina lake la utani.

image
na

Habari08 March 2023 - 09:11

Muhtasari


Mke wa naibu rais katika mkutano wiki uliopita katika chuo kikuu cha Nairobi,aliomba kupewa jina la matani linalolingana na la Riggy G.

Dorcas Gachagua,mke wake naibu rais Rigathi Gachagua sasa amepewa jina lake la utani,Rigathress ,na Wakenya kwenye mtandao wa twitter.

Hili linakuja baada ya Pastor Dorcas kuomba kupewa jina la matani linalolingana na lile alilopewa naibu rais almaarufu Riggy G.

Jina la matani laki lake naibu rais'Riggy G' alilopewa na Ivy Chelimo lilienea mno na hata sasa limejulikana nchini kote.Viongozi wakiwemo Rais William Ruto mara kwa mara katika mikutano hata wametumia jina hilo la Riggy G.

Mke wa naibu rais katika mkutano wiki uliopita katika chuo kikuu cha Nairobi,aliomba kupewa jina la matani linalolingana na la Riggy G.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved